Washiriki wa mjadala ulioandaliwa na DW kwa ushirikiano na Redio Maisha mjini Nairobi, ulipokelewa vyema huku washiriki wengi wakiungama kuwa mwanamke ana nafasi kubwa katika jamii. Swali kuu linaloendelea kujadiliwa ni je wamewezeshwa kwa kiwango gani kupitia vyombo vya habari?