Uzushi wa kuondoshwa madarakani kwa Kanali Kiza Besigye wa chama cha FDC nchini Uganda
6 Julai 2007
Viongozi wa chama cha Forum for Democratic Changes -FDC cha Uganda, wamekanusha habari zilizozagaa mjini Kampala kwamba kiongozi wa chama hicho kanali mstaafu Kiza Besigye huenda akaondolewa madaraka na wanachama kutokana na kukosa muelekeo w kuendesha chama hicho.