1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Mafunzo

Vigezo vya kuingia Chuo Kikuu kubadilishwa Tanzania?

28 Novemba 2016

Umezuka utata nchini Tanzania baada ya Wizara ya Elimu kusema watu watakaoweza kujiunga na Chuo Kikuu ni wale tu waliofaulu Kidato cha Sita. Naibu Waziri wa Elimu anafafanua hilo katika Kinagaubaga.

Wanafunzi wa Chuo Kikuu Tanzania
Picha: DW/K. Makoye

FE: Kinagaubaga - 29/30/02 - Changes in education system in Tanzania - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW