1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vijana na Redio

9 Septemba 2014

Tarehe 13 ni siku ya redio duniani. Na mwaka huu kaulimbiu ni "Vijana na Redio". Vijana Mchaka Mchaka inazungumzia mada hiyo.

Retro Radio & Kopfhörer vor Mint Hintergrund
Picha: Fotolia

Vijana siku hizi wanasikiliza nini? Wanasikiliza redio wakati gani na wanazungumziaje manufaa ya kusikiliza redio. Ungana na Elizabeth Shoo katika Vijana Mchaka Mchaka.

Kusikiliza makala bonyeza alama ya spika za masikioni.

Mwandishi: Elizabeth Shoo

Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW