1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vijana wa Afrika wanavyojiandaa kupiga kura

Sylvia Mwehozi
5 Machi 2020

Vijana wa Uganda ambao ni wapiga kura wa mara ya kwanza huenda wasishiriki uchaguzi mkuu kwani tume ya uchaguzi inadai haina muda wa kuwaandikisha. Tanzania vijana wanaandikishwa kwa ajili ya uchaguzi 2020.

Masanduku ya kupiga kura
Picha: REUTERS

FE: Vijana Mubashara 05/06.03 Youth participation in political process - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW