Vijana wa Kitanzania watua Ujerumani
14 Juni 2011![Wanafunzi wakiwa darasani nchini Tanzania](https://static.dw.com/image/3547401_800.webp)
Matangazo
Kusoma kuna njia nyingi na moja ya njia hizo ni kutembea na kujifunza mambo kwa njia ya mbadilishano. Ndivyo ziara ya kimasomo ya wanafunzi wa vyuo vya mafunzo ya ujasiriamali vya Tanzania (VETA) inavyothibitisha.
Mtayarishaji/Msimulizi: Asumpta Ngonyani
Mhariri: Othman Miraji