Vijana wa Ugiriki washindwa kujikimu kimaisha
14 Septemba 2011![Euro imekimbia mifukoni mwa vijana](https://static.dw.com/image/15387028_800.webp)
Matangazo
Abdu Mtullya anazungumzia namna ambavyo maisha ya vijana wa Ugiriki yalivyoharibiwa vibaya na kuporomoka kwa uchumi na kupanda deni la nchi yao.
Mtayarishaji: Abdu Mtullya
Mhariri: Othman Miraji