1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vijana wanaoishi na maambukizi ya VVU, Arusha

03:03

This browser does not support the video element.

13 Novemba 2020

Takwimu za maambukizi ya virusi vya UKIMWI nchini Tanzania zinawataja vijana walio na umri wa kati ya miaka 14 hadi 25 kuwa ni kundi la watu waliombukizwa kwa kiwango cha juu. Mpaka sasa watu wanaoishi na maambukizi ya virusi vya ukimwi nchini Tanzania wanafikia milioni 1.6.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW