1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vijana wapata fursa za maonyesho ya biashara

25 Julai 2016

Vijana walichangamia fursa za kujiimarisah kiuchumi katika maonyesho ya biashara ya saba saba yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Mwandishi wetu wa Shinyanga, Veronica Natalis, alikaa na kuzungumza na baadhi ya vijana.

Saba Saba International Trade Fair 2016 in Tanzania
Picha: DW/V. Natalis

[No title]

This browser does not support the audio element.

Picha: DW/V. Natalis

Watu wengi walijitokeza katika maonyesho ya mwaka huu.

Picha: DW/V. Natalis

Bidhaa kama hizi zilionyeshwa katika vibanda mbalimbali katika maonyesho hayo.