Vijana walichangamia fursa za kujiimarisah kiuchumi katika maonyesho ya biashara ya saba saba yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Mwandishi wetu wa Shinyanga, Veronica Natalis, alikaa na kuzungumza na baadhi ya vijana.
Picha: DW/V. Natalis
Matangazo
[No title]
This browser does not support the audio element.
Picha: DW/V. Natalis
Watu wengi walijitokeza katika maonyesho ya mwaka huu.
Picha: DW/V. Natalis
Bidhaa kama hizi zilionyeshwa katika vibanda mbalimbali katika maonyesho hayo.