1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vikongwe Uganda wakataa kuzeeka

03:47

This browser does not support the video element.

28 Julai 2025

Shirika la Kijamii la Royal Foundation nchini Uganda limeanzisha mpango wa mazoezi ya kijamii kwa wanawake wazee kwa lengo la kuimarisha afya zao na kujikinga na magonjwa ya uzeeni na kuwafanya kuwa na afya bora.

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Picha: Ashley Cooper/Global Warming Images/dpapicture alliance

Kurunzi Afya

DW Kisuaheli inakuletea vidio maalumu kuhusu masuala ya afya. Kila wiki Dkt. Sizya atakuwa akikuelimisha kuhusu mada muhimu zinazuhusu afya yako.