1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vikosi vya Australia kuondoshwa Irak hatua kwa hatua

30 Novemba 2007

Australia inatazamia kuwarejesha nyumbani kama wanajeshi 550 kutoka Irak ifikapo katikati ya mwaka 2008.Hivi sasa Australia ina wanajeshi 1,500 nchini Irak,kama sehemu ya vikosi vya kimataifa vinavyoongozwa na Marekani.

Waziri Mkuu mteule Kevin Rudd wakati wa kampeni ya uchaguzi,aliahidi kuwarejesha nyumbani wanajeshi hao hatua kwa hatua.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW