SiasaViongozi hasimu wa Sudan Kusini kugawana madaraka00:52This browser does not support the video element.SiasaSylvia Mwehozi26.07.201826 Julai 2018Viongozi wanaohasimiana wa Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na makamu wake wa zamani Riek Machar, wamesaini mkataba wa awali wa kugawana madaraka. Machar atakabidhiwa tena wadhifa wake wa kuwa makamu wa kwanza wa rais.Papo kwa Papo 26.07.2018Nakili kiunganishiMatangazo