1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Viongozi wa kisiasa wahimiza amani kuelekea uchaguzi

Elizabeth Shoo21 Oktoba 2015

Wawakilishi wa chama tawala cha Tanzania CCM na chama cha upinzani CHADEMA waelezea mipango ya kulinda amani wakati Tanzania ikielekea uchaguzi mkuu mwaka 2015.

Dar Es Salaam Tanzania
Picha: George Njogopa

Mjumbe wa halmashauri kuu wa chama tawala nchini Tanzania, CCM, Mohammed Seif Khatib, anazungumzia amani inapewa kipaumbele gani katika wakati huu wa kampeni. Suala hilo linajadiliwa pia na mjumbe wa halmashauri kuu wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA, Mchungaji Peter Msigwa.

Kusikiliza mahojiano ya wawakilishi hao wa vyama na Sudi Mnette, bonyeza alama ya spika za masikio hapo chini.

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW