1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Viongozi wa Uamsho wafikishwa Mahakamani Zanzibar

22 Oktoba 2012

Kufuatia vurugu za siku nne mfululizo huko Zanzibar, hii leo Sheikh Farid pamoja na viongozi wenzake wanne wa kundi la uamsho wamefikishwa mahakamani kujibu mashataka ya kusababisha vurugu.

Baadhi ya viongozi wa Uamsho wafikishwa mahakamani
Baadhi ya viongozi wa Uamsho wafikishwa mahakamaniPicha: DW

Ili kufahamu yaliyojiri Grace Kabogo amezungumza na mwandishi wetu wa Zanzibar, Salma Said, ambaye yuko mahakamani hapo akifuatilia kwa ukaribu kesi hiyo.

(Kusikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

.

Mwandishi: Grace Patricia Kabogo

Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW