JamiiVipimo kila kona!02:44This browser does not support the video element.JamiiLilian Mtono19.03.202019 Machi 2020Ni katika eneo la Namanga kunakopatikana mpaka wa Kenya na Tanzania. Virusi vya corona vimekuwa tishio kila kona. Na sasa hupiti kokote bila ya kupimwa. Veronica Nathalis ametuandalia video hii. #KurunziNakili kiunganishiMatangazo