Visa vya utekaji nyara vyaripotiwa nchini ethiopia
9 Julai 2024![alozi wa Marekani nchini Ethiopia Ervin Massinga](https://static.dw.com/image/68591598_800.webp)
Matangazo
Utekaji nyara huo umekuwa ukifanywa na watu wanaodai kulipwa kigombozi.
Balozi huyo wa Marekani, Ervin Massinga ameandika kupitia ukurasa wa x akisema matukio hayo ya mara kwa mara ya hivi karibuni katika majimbo yaOromia na Amhara yanaonesha ni kwa jinsi gani mgogoro uliochukuwa muda mrefu kumalizika,ulivyotanuwa visa vya uhalifu na kudhoofisha utawala wa sheria.