1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vita dhidi ya ndoa za utotoni Malawi

01:17

This browser does not support the video element.

30 Oktoba 2017

Fikiria, kuolewa katika umri mdogo wa miaka 12 ama 13? inashangaza! Lakini si Malawi ambayo imeendeleza utamaduni huo. Hivi sasa wanawake kama Enala Ngulu Gondwe wanapigana kuondolewa kwa ndoa hizo. aliolewa akiwa na miaka 13. Leo, ana miaka 39 na ameamua kupambana na ndoa za utotoni nchini mwake.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW