1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vita dhidi ya rushwa yashika kasi Tanzania

4 Desemba 2015

Makontena yaliyopitishwa bila kodi yagunduliwa bandarini, mabilioni ya fedha yatoweka katika miradi ambayo haikutekelezwa. Watanzania wanauliza imekuwaje rushwa ikafumbiwa macho kwa miaka mingi hivyo.

Mchoro wa Said Michael
Picha: DW/Said Michael

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW