1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vita dhidi ya saratani ya matiti nchini Togo

03:08

This browser does not support the video element.

6 Mei 2020

Saratani ya matiti ni tatizo linalowaathiri wanawake wengi wa Togo. Chama cha wanafunzi madaktari kimeanzisha mradi wa MLA Tour Rose, ili kuhamasisha wasichana katika shule za sekondari na kuwaelimisha kuhusu namna ya kubaini n ahata kuuzuia ugonjwa huo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW