1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vita dhidi ya utamaduni wa kuwakeketa wasichana katika jamii ya Wamaasai

02:33

This browser does not support the video element.

6 Oktoba 2020

Ukeketaji umesalia kuwa kati ya tamaduni zinazowasababishia wasichana wengi changamoto za kiafya ikiwemo kifo. Ajabu ni kwamba katika baadhi ya jamii, utamaduni huo ungali unaenziwa. Mshindi wa zamani wa urembo nchini Tanzania Diana Edward Lukumai anatumia umaarufu wake kuukomesha utamaduni huo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW