1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vita Kuu ya kwanza ya Dunia ilvyoibadili Afrika Mashariki

03:32

This browser does not support the video element.

9 Novemba 2018

Vita Kuu ya kwanza ya Dunia ilipaganwa hasa katika bara la Ulaya, lakini Afrika ilitoa mchango mkubwa katika vita hiyo, ikipeleka wanajeshi kupigana kwa pande hasimu kulingana na mkoloni wa taifa husika. Hii leo wakati ulimwengu ukikumbuka miaka 100 tangu kumalizika kwa vita hiyo, tunaangalia namna vita hiyo ilivyounda mustakabali wa Afrika mashariki na ushirikiano wake na Ulaya.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW