1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vyama vyapiga kura kuteua wagombea Kenya

18 Aprili 2017

Kura za mchujo zimeanza huku mtafaruku ukiukumba uteuzi wa chama pinzani ODM kilichoanza shughuli hiyo mwishoni mwa juma. Waziri wa Usalama, Joseph Nkaisserry, ametoa onyo kwa vyama dhidi ya kuzua vurugu.

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Joseph Nkaisserry
Picha: picture alliance/dpa/D. Irungu

J3 18.04 Kenia: Politische Lage der NASA - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW