Kenya:Sheria mpya.
19 Machi 2008Matangazo
Magazeti ya Kenya leo yamekaribisha hatua ya kuanzishwa sheria mpya zitakazofikisha kikomo mzozo wa kisiasa, lakini yamelionya bunge kuwa watarajie hali ngumu hapo baadaye katika utekelezaji wa makubaliano ya kugawana madaraka pamoja na kuifanyia mageuzi katiba ya nchi hiyo.