Vyombo vya Mawasiliano na Habari – Kipindi1 – Nani atapiga muziki?
11 Novemba 2010
Katika mfululizo huu tunaangazia vyombo vya mawasiliano na habari,Wahusika wetu wakuu: Young Juniour mwenye ndoto za kuwa na gazeti; Sister P kuendesha vipindi katika TV, Charlie,kuwa DJ maarufu na Ezra kuwa mtangazaji