1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waandamanaji wadai mageuzi na haki Sudan

01:25

This browser does not support the video element.

1 Julai 2020

Maelfu ya waandamanaji wamejitokeza nchini Sudan kuanzia Jumanne, wakidai mageuzi na pia hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya waliofanya mauaji 2019 dhidi ya waandamanaji waliopinga utawala wa rais aliyeng'olewa madarakani Omar al-Bashir.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW