1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wabunge warusha ngumi Afrika Kusini

01:57

This browser does not support the video element.

10 Februari 2017

Wabunge wa chama cha Economic Freedom Fighters EFFwalitolewa kwa nguvu bungeni siku ya Alhamisi baada ya kuvuruga hotuba ya Rais Jacom Zuma na kumtaka aondoke wakimtuhumu kwa rushwa. Rais Donald Trump apata pigo baada ya marufuku yake dhidi ya wahamiaji kutoka mataifa 7 ya Waislamu wengi kukataliwa na mahakama ya rufaa. Na Tamasha la 14 la Sauti za Busara lafanyika visiwani Zanzibar.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW