Wachimba migodi wadai usalama zaidi kazini
4 Desemba 2007Matangazo
Kiasi ya wachimba migodi 240,000 wameitisha mgomo wa siku moja nchini Afrika Kusini.Waajiriwa hao wanataka usalama zaidi katika kiasi ya migodi 700 nchini humo.Maandamano pia yamepangwa kufanywa katika mji wa Johannesburg.Mwaka huu,zaidi ya wachimba migodi 200 wamepoteza maisha yao katika ajali zilizotokea kazini.