1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wachimba migodi wadai usalama zaidi kazini

4 Desemba 2007

Kiasi ya wachimba migodi 240,000 wameitisha mgomo wa siku moja nchini Afrika Kusini.Waajiriwa hao wanataka usalama zaidi katika kiasi ya migodi 700 nchini humo.Maandamano pia yamepangwa kufanywa katika mji wa Johannesburg.Mwaka huu,zaidi ya wachimba migodi 200 wamepoteza maisha yao katika ajali zilizotokea kazini.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW