1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wachina watekwa nyara Sudan

19 Oktoba 2008

Khartoum.

Wafanyakazi 9 wa Wakichina wa shughuli za mafuta wametekwa nyara katika mkoa tajiri kwa nishati wa Kordofan kusini,nchini Sudan.Afisa wa ubalozi wa China mjini Khartoum, amesema wafanyakazi hao walikamatwa na watu wasiojulikana jana.

Hii ni mara ya tatu mwaka huu, wafanyakazi wa shughuli za mafuta wanatekwa nyara mkoani huo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW