1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wachoraji nao wamo kwenye vita dhidi ya corona

02:38

This browser does not support the video element.

14 Aprili 2020

Virusi vya corona bado ni tishio kwa dunia. Kila pembe ya dunia tayari inafanya juhudi za kukabiliana na ugonjwa unaosambazwa na virusi hivyo. Na nchini Tanzania, kundi linalotumia sanaa ya uchoraji nalo halijajitenga na vita hivi, ni kwa namna gani? tazama video hii. #Kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW