1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wacongo waomboleza kifo cha Tshisekedi

2 Februari 2017

Etienne Tshisekedi, kiongozi wa upinzani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, amefariki dunia akiwa na miaka 84. Saleh Mwanamilongo amezungumza na wakazi wa Kinshasa kusikia wanachosema kuhusu kifo chake.

Étienne Tshisekedi, kiongozi wa upinzani DRC
Picha: picture-alliance/dpa/T. Roge

Kinshasa na kifo cha Tshisekedi - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW