JamiiWafungwa wahitimu chuo kikuu Uganda23.03.201823 Machi 2018Kwa mara ya kwanza, kumefanyika mahafali kwa ajili ya wafungwa wa gereza la usalama wa hali ya juu la Luzira. Baadhi ya wahitimu ni watu waliohukumiwa kifungo cha maisha. Hii ni kuonyesha wafungwa ni sehemu ya jamii.Nakili kiunganishiPicha: DW/E. LubegaMatangazoJ2.23.03.2018Uganda inmates graduation - MP3-StereoThis browser does not support the audio element.