1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waislamu Tanzania washeherekea sikukuu ya Eid ul Fitr

02:28

This browser does not support the video element.

31 Machi 2025

Waislamu nchini Tanzania wamesheherekea sikukuu ya Eid ul Fitr leo Jumatatu baada ya kundi lengine kusheherekea jana. Katika msikiti wa Mohamed wa Tano uliopo katika makao makuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA Kinondoni jijini Dar es Salaam, waumini wameungana na Rais Samia Suluhu Hassan kutimiza ibada hio muhimu inayohitimisha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki

Zaidi kutoka kipindi hiki

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW