Marais wa zamani wa Tanzania walisimamia misingi gani
26 Oktoba 2015
Huku Taifa la Tanzania likisubiri kwa hamu na ghamu kujua ni nani atakayekuwa Rais wao wa awamu ya tano, Caro Robi anatupia macho Marais wa zamani wa Tanzania, kipindi walichohudumu na misingi waliyosimamia.