1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakenya wajiandaa na Uchaguzi

02:18

This browser does not support the video element.

3 Agosti 2022

Wakenya wanajiandaa kwa uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Jumanne ijayo. Baadhi wamevitembelea vituo vya kupigia kura ili kuhakikisha ikiwa majina yao yapo kwenye daftari la wapiga kura walikosajiliwa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW