1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakimbizi wa Burundi wamiminika Rwanda

8 Machi 2018

Rwanda imewapokea kwa wakati mmoja wakimbizi wengine wa Burundi zaidi ya 3000. Wakimbizi hao waliovuka mpaka kutoka eneo la Kamanyola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanasema wamekimbia kwa ajili ya usalama wao.

Wakimbizi kutoka DRC
Picha: Reuters/J. Bizimana

Ruanda: Flüchtlinge aus Burundi - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW