1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakimbizi wa Burundi wataka kurudi nyumbani

20 Juni 2018

Wakati Burundi ikitajwa kuwa si shwari kisiasa na kiusalama, wakimbizi wa Burundi katika kambi ya Nduta nchini Tanzania wamefanya maandamano wakishinikiza kurejeshwa nchini mwao. Kambi hiyo ina watu 355,000.

Wakimbizi kambini Nduta, Tanzania
Picha: DW/Prosper Kwigize

J1 20.06.2018 Word Refugee Day - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW