1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakimbizi wa DRC waishio Zambia warejeshwa makwao

9 Mei 2008

Nchini Kongo operesheni kubwa ya kuwarejesha makwao wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wanaoishi nchini Zambia imeanzishwa upya.

Kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Wakimbizi UNHCR nchini Kongo wakimbizi zaidi ya mia nane
walirejeshwa mjini MOBA ulio kwenye jimbo la Katanga wiki hii . Hata hivyo shirika hilo limefahamisha kwamba kuna wakimbizi wengine ambao wamekataa kurejea makwao kwa hofu ya usalama
wao.

Taarifa kamili na mwandishi wetu wa Kinshasa Saleh Mwanamilongo

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW