1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakimbizi wa kiafrika wazamqa katika bahari ya kati

30 Juni 2007

Valetta:

Watu wasiopungua 11wamekufa meli yao iliyosheheni wakimbizi ilipozama kati ya Libya na Malta.Abiria 20 wameokolewa na mashua ya wavuvi ya Malta .Habari hizo zimetangazwa na jeshi la kisiwa hicho cha bahari ya kati.Wahamiaji hao wanasemekana wametokea Ethiopia, Somalia na Nigeria.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW