1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakimbizi wa Kisomali wakatiliwa kuingia nchini Kenya

5 Aprili 2007

Inasemekana karibu ya wakimbizi wa Kisomali 7,000 walioyakimbia mapigano mepya katika nchi yao ilio na vurugu wamekataliwa kuingia Kenya.

Wakimbizi wa Kisomali nchini Kenya
Wakimbizi wa Kisomali nchini KenyaPicha: AP

Wakimbizi hao wakiwa katika misafara ya ngamia na magari walikataliwa kuingia katika miji ya mipakani ya Afmadhow na Dobley pale walipotaka kuyafikia makambi ya Shirika la Umoja wa Mataifa la kuwasaidia wakimbizi, UNHCR,katika wilaya ya Garissa.

Saumu Mwasimba alizungumza na Mulicent Mutuli, afisa wa habari wa Shirika la UNHCR huko Nairobi, juu ya mkasa huo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW