1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakimbizi wa Mashariki ya Kongo wakimbilia Rwanda

2 Mei 2012

Wakimbizi wanaokimbia mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanaendelea kuwasili nchini Rwanda.

Wananchi wa Kongo wakimbilia Rwanda
Wananchi wa Kongo wakimbilia RwandaPicha: DW/S. Schlindwein

Wizara ya usimamizi wa majanga nchini Rwanda inaonya kuwa ikiwa hali hiyo itazidi, basi serikali itahitaji usaidizi wa kuweza kuwahudumia wakimbizi hao. Mwandishi wetu mjini Kigali Sylvanus Karemera ana ripoti kamili.

(Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)

Mwandishi: Sylvanus Karemera (Kigali)

Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi