1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wakimbizi wa Syria Wajiunganisha na jamii ya Ujerumani

01:20

This browser does not support the video element.

5 Septemba 2017

Mataifa mengi ya Ulaya hayapendi kupokea wakimbizi. Lakini sera ya "Milango wazi" ya Kansela Angela Merkel wa Ujerumani, ilisababisha wengi kuingia nchini humo. Baadhi yao sasa wanasema, ni jambo jema kurejesha fadhila. Miongoni mwao ni mkimbizi huyu Moneer, anafanya nini? Tizama Video hii.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW