SiasaWakoloni wa Kijerumani katika mji wa Tabora03:28This browser does not support the video element.Siasa21.12.201821 Desemba 2018Wajerumani waliupendelea mji wa Tabora kuwa mji wao mkuu wa koloni la Afrika Mashariki. Jua mengi kuhusu mji huo na historia ya ukoloni wa Wajerumani katika vidio hii iliyoandaliwa na Dotto Bulendu.Nakili kiunganishiMatangazo