Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakutana Arusha
29 Aprili 2009![](https://static.dw.com/image/1163736_800.webp)
Matangazo
Kikao hicho kinaongozwa na mwenyekiti wake rais Paul Kagame wa Rwanda na kinahudhuriwa na wakuu wote wa Jumuiya hiyo .
Mwandishi wetu Nicodemus Ikonko anaarifu zaidi kutoka Arusha.
Mwandishi: Nicodemus Ikonko
Mhariri: Mohamed Abdulrahman