1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JamiiBrunei Darussalam

Wanafunzi wa udaktari Sudan kukamilisha shahada zao Tanzania

04:21

This browser does not support the video element.

19 Juni 2023

Mzozo wa madaraka nchini Sudan haujaathiri tu mfumo wa kawaida wa maisha ya wakaazi, masomo pia yameathirika kwa kiasi kikubwa,wanafunzi wa masomo ya udaktari wamekaribishwa katikia taifa jirani la Tanzania kwenye chuo kikuu cha afya na hospitali ya taifa Muhimbili, ili kukamilisha masomo yao.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW