1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanafunzi wafyatuliwa risasi Marekani

12 Desemba 2007

LAS VEGAS:

Nchini Marekani,wanafunzi 6 wamepigwa risasi walipokuwa wakiteremka basi lao la shule katika mji wa Las Vegas.Kwa mujibu wa ripoti ya polisi, wanafunzi 2 wamo katika hali mbaya sana. Inaaminiwa kuwa si chini ya watu wawili walihusika katika mashambulizi hayo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW