1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanahabari Tanzania wajipanga upya kujilinda

02:26

This browser does not support the video element.

4 Aprili 2019

Kuibuka kwa wimbi la mashambulizi ya aina mbalimbali dhidi ya wanahabari nchini Tanzania kunawaunganisha sasa wadau wa sekta hiyo kusaka mikakati ya kujilinda na kulindana wenyewe kwa wenyewe. Ahmad Juma anaarifu kutokea Dar es Salaam. Kurunzi 04.04.2019.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW