1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanahabari wakigeni waalikwa Korea Kaskazini

00:58

This browser does not support the video element.

Saumu Mwasimba
23 Mei 2018

Wanatarajiwa kushuhudia zoezi la kuharibu kituo cha kufanya majaribio ya Nyuklia huko Korea Kaskazini,zoezi ambalo wataalamu wa Nyuklia hawakualikwa.Waandishi habari waliokwenda ni pamoja na kutoka Korea Kusini. Hatua hii imekuja baada ya Korea Kaskazini kufuta mkutano na Korea Kusini huku pia ikitishia kwamba kiongozi wake Kim Jong Un hatoshiriki mkutano pamoja na rais wa Marekani Donald Trump.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW