1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JamiiCameroon

Wanaharakati Cameroon wapewa tuzo ya Afrika-Ujerumani 2023

02:57

This browser does not support the video element.

1 Desemba 2023

Tuzo ya Afrika ya Ujerumani 2023 inatambua kazi ya wanawake wa Cameroon walio mstari wa mbele kupigania amani na haki za wanawake katika jamii zao. Sally Mboumien anawakilisha Kongamano la Kitaifa la Amani la Wanawake nchini Cameroon katika kuwawezesha wanawake wanaokumbwa na matatizo ya kiuchumi, usawa wa kijinsia na migogoro.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW