1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanaharakati Tanzania wataka mabadiliko ya uchaguzi

9 Machi 2018

Kesi ya kikatiba inayopinga wakurugenzi wa manispaa na wateule wa rais kusimamia uchaguzi, ambayo imefunguliwa na kundi la wanaharakati na kuongozwa na wakili Fatma Karume, imetajwa leo katika Mahakama Kuu Tanzania.

Wakili Fatma Karume na wanaharakati wengine
Picha: DW/Said Khamis

J1.09.03.2018Dar: Constitutional cases - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Kesi hiyo ilifunguliwa rasmi tarehe 27 Februari. DW imezungumza na wakili Fatma Karume na kwanza kuuliza kipi kilichowafikisha asubuhi ya leo katika ofisi ya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW