1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wanaharakati waandamana Berlin dhidi ya mabadiliko ya tabia nchi

02:30

This browser does not support the video element.

7 Oktoba 2019

Wanaharakati walioanza kupiga kambi mitaani mjini Berlin mwishoni mwa wiki iliyopita sasa wameanza kuziba barabara na kupiga kambi nje ya ofisi za serikali wakitaka uwajibikaji zaidi wa serikali kukabili athari za mabadiliko ya tabia nchi. Harrison Mwilima na mengi zaidi.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW